Xhatoh - DOMO NZEGE 01 | True story (Music lyrics video)
Ni story ya kweli kaisa ambayo ishawai nitokea nikiwa katika sherehe moja uko kinondoni nikiwa na rafiki zangu walinicheka sana kisa nilishindwa kuongea mwanamke😅😅.
Written by Xhatoh
Performed by Xhatoh
mixed by Xhatoh
Beat produced by wavey
lyrics video by MISHEBOY
DOMO NZEGE 01 lyrics
intro
Yeah
Xhatoh
DOMO NZEGE part 01.
Verse.
siku moja kwenye party la
Mtaani
ni l ipul l up na wanangu i l i tupate
mivinyo. i le tumekaa punde si
punde l ikapita kundi la Mashori
mbele yetu si ndo wakakaa
bwana.
Mar a ghafla nikaona SHORI
namba 8 Mtoto Mzuri sur a
mweupe
apo apo nikapagawa
nikaogopa nikadata hi i nini
Sasa inanitokea.
Kama nusu Saa macho ivi
macho nmekodoa.
Wahuni wakaniul iza Xhatoh
uko Sawa?
K wa mbwembwe zote
Nikawambia Oya niko Sawa.
kumbe siko Sawa.
moyo Umepagawa .
mwil i upo apa
moyo Umeota mbawa.
kisa tu kidawa
mambo hayapo Sawa.
inaonekana ni Mzuri Hata
Asubui asiponawa.
ikitokea kapika Ntakula bi la
kunawa .maana nishapagawa.
Haya Basi Pati ikaanza pale
nikapiga tungi na wanangu
tukapiga story nyingi . nyingine
za uongo afu Hata hatupingi .
akati Maendeleo na pombe
nikajiul iza nimfwate (mh mh)
nikaul iza moyo Ukasema
kwa kishindo nikanyanyuka
l iwalo na Liwe .lolote Li le.
chochote ki le atachotaka Kiwe.
ntafanikisha cha msingi Niwe
nae.
Basi nikamfwate pale SHORI
mambo akajibu poa.
wakati Rafiki zangu na Rafiki
zake wote macho wamekodoa.
wote wakitamani Waone
anani joboa. sio poa jasho
Inatoka Sjui
atanichomolea(atanikata)
huku naogopa kuambiwa toka.
kisa uoga basi Mimi nikaropoka
naku..............
naku...............
nikasema nakuja mzee....
Bi la uoga nikaropoka nakuja.
WANANGU hawani ita i la Mimi
nikaitika Nakuja.
mbele ya manzi(shori) mwi l i
Umekufa Ganzi . Waziwazi kwel i
MI Kiazi .
narudi kwenye Gang. (washkaji)
amkeni amkeni kurudi Bi la
namba Mkononi ana Chupa
tupu ya Hainkein Then
tumchekeni huyu Jameni .
mda uo MI kichwa chini .
pombe Zimeisha kichwani kisa
aibu imebaki aki l i yangu Mimi .
ivi Mimi pale ni l ifata nini?
Zaidi ya nusu saa mbele ya
mtoto si jasema chochote
siamin.
nimefanya nini?
niende tena nini?
DIABLO MADE HIT
All rights received ©2020. Xhatoh is under DIABLO ENT record label..
spotify through https://open.spotify.com/playlist/00N...
Soundcloud through https://soundcloud.com/xhatoh-cuctus/...
Audiomack through https://audiomack.com/xhatoh/song/xha...
hooop iko noma
ReplyDelete